Omriama is an online media platform delivering entertainment, music, business, and international news from Tanzania and around the world.
about
Category: news
-

Bernadette Zawadi, anayejulikana zaidi kwa jina la Rebo Queen, ni msanii anayekuja kwa kasi kutoka Nyarugusu, ambaye kwa sasa anaishi nchini Marekani. Hivi karibuni, sauti inayodaiwa kuwa yake imevuja mitandaoni, ikimwonyesha akizungumza na mganga kutoka Nyarugusu, huku yeye akiwa bado anaishi Marekani. Katika sauti hiyo, inadaiwa Rebo Queen anazungumzia nia ya kumdhuru kwa njia za…
